Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Tuesday, December 11, 2012

Waasi wa Darfur wavamia nyumba za raia


Waasi wa Darfur wavamia nyumba za raia
Makundi kadhaa ya waasi katika jimbo la Darfur huko Sudan yamekuwa yakipora na kuiba mali za raia na kuvisababishia hasara vituo vya serikali. Makundi kadhaa ya waasi wa Darfur huko katika jimbo la Darfur ya kaskazini nchini Sudan yamefanya hujuma hiyo dhidi ya raia wa jimbo hilo na vituo vya serikali kwa kutumia magari 17. Othman Kabr gavana wa jimbo la Darfur ya kaskazini pia ameeleza kuwa makundi ya waasi wenye silaha yameshambulia pia huko kusini mashariki mwa jimbo la Darfur ya kaskazini.  Ameongeza kuwa waasi hao wamekuwa wakiwakwepa wanajeshi walinda amani na kufanya mashambulizi katika maeneo ya raia na kwenye masoko.  

No comments:

Post a Comment