Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Monday, December 10, 2012

Ndege ya abiria yaanguka nchini Zambia


Ndege ya abiria yaanguka nchini Zambia
Maafisa wa uwanja wa ndege wa Lusaka wametangaza kuwa, ndege ya abiria imeanguka wakati ilipokuwa ikitaka kutua lakini watu wasiopungua 20 wamenusurika. Ndege hiyo ilikuwa na abiria 93 na ililazimika kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Lusaka lakini ilipata ajali.  Idadi kamili ya wahanga bado haijajulikana lakini abiria wasiopungua 20 wamepatikana wakiwa wazima.
Ngede hiyo ilikuwa imebeba abiria 85 na wahudumu nane. Shughuli za uokoaji zimeanza mara tu baada ya ajali hiyo na bado zinaendelea.

No comments:

Post a Comment