Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Monday, December 31, 2012

Idadi ya Watanzania yaongezeka na kufikia milioni 44.9


Idadi ya Watanzania yaongezeka na kufikia milioni 44.9Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo ametangaza matokeo ya sensa ya makazi nchini humo.
Akihutubia katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Kikwete amesema, kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwezi Agosti mwaka huu wa 2012, Watanzania waongezeka kutoka watu milioni 34.4 hadi kufikia watu milioni 44.9. amesema idadi ya watu Tanzania bara ni 43.6 milioni na Zanzibar watu milioni 1.3.

No comments:

Post a Comment