
Akihutubia katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Kikwete amesema, kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwezi Agosti mwaka huu wa 2012, Watanzania waongezeka kutoka watu milioni 34.4 hadi kufikia watu milioni 44.9. amesema idadi ya watu Tanzania bara ni 43.6 milioni na Zanzibar watu milioni 1.3.
No comments:
Post a Comment