JUMUIYA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAMU
 (JUMIKI)
 للجنة الدعوة الإسلامية 
 THE ASSOCIATION FOR ISLAMIC MOBILISATION AND PROPAGATION
 P. O. BOX: 1266  -Tel: +255-777-419473 / 434145-
  FAX +255-024-2250022   E-Mail: jumiki@hotmail.com
 MKUNAZINI ZANZIBAR
 
 Ref. JMK/VOL/12/2012 05 Novemba, 2012
  Bimillahir Rahmanir Rahiim
 
 Ndugu Muislam,
 
 YAH: OMBI LA MCHANGO WA MAAFA
 
 Tafadhali husika na mada kama inavyosomeka hapo juu.
 
 Kila sifa njema zinamstahikia Allah (S.W.T), rehma na amani zimuendee 
Mtume Muhammad (S.A.W), ahli zake, masahaba zake na waliowema katika 
Uislamu.
 
 Kutokana na hali mbali mbali zilizojiri nchini mwetu 
hususan katika kuitetea Zanzibar huru yenye mamlaka yake kamili 
imepelekea baadhi ya watu kuathiriwa na hali hiyo ikiwemo kuuwawa kwa 
watu wasio na hatia, kuingiliwa majumbani mwao na kuibiwa mali zao na 
vyombo vya dola, pia wengine kuwekwa rumande wakiwemo Sheikh Msellem 
Ali, Amir Farid Hadi, Sheikh Khamis, Ustadh Hassan Bakar, Ustadh Ghalib 
na wengineo. Kutokana na hali hiyo jumuiya ya UAMSHO inakuomba uchangie 
 kwa kadir ya ulivyojaaliwa na Allah (S.W.T) ili kuwasaidia waathirika 
hao, na ujira wako utaukuta siku yenye shida na hakutakua na msaada ila 
kwa kile ulichokitanguliza.
 
 Tunamuomba Allah (S.W.T) akulipe badala na kilicho na kheri zaidi kwa unachokitoa.
 
 Wabillahi Taufiq
 
 KATIBU MKUU.
 JUMUIYA YA UAMSHO.
P. O. BOX: 1266 -Tel: +255-777-419473 / 434145-
FAX +255-024-2250022 E-Mail: jumiki@hotmail.com
MKUNAZINI ZANZIBAR
Ref. JMK/VOL/12/2012 05 Novemba, 2012
Bimillahir Rahmanir Rahiim
Ndugu Muislam,
YAH: OMBI LA MCHANGO WA MAAFA
Tafadhali husika na mada kama inavyosomeka hapo juu.
Kila sifa njema zinamstahikia Allah (S.W.T), rehma na amani zimuendee Mtume Muhammad (S.A.W), ahli zake, masahaba zake na waliowema katika Uislamu.
Kutokana na hali mbali mbali zilizojiri nchini mwetu hususan katika kuitetea Zanzibar huru yenye mamlaka yake kamili imepelekea baadhi ya watu kuathiriwa na hali hiyo ikiwemo kuuwawa kwa watu wasio na hatia, kuingiliwa majumbani mwao na kuibiwa mali zao na vyombo vya dola, pia wengine kuwekwa rumande wakiwemo Sheikh Msellem Ali, Amir Farid Hadi, Sheikh Khamis, Ustadh Hassan Bakar, Ustadh Ghalib na wengineo. Kutokana na hali hiyo jumuiya ya UAMSHO inakuomba uchangie kwa kadir ya ulivyojaaliwa na Allah (S.W.T) ili kuwasaidia waathirika hao, na ujira wako utaukuta siku yenye shida na hakutakua na msaada ila kwa kile ulichokitanguliza.
Tunamuomba Allah (S.W.T) akulipe badala na kilicho na kheri zaidi kwa unachokitoa.
Wabillahi Taufiq
KATIBU MKUU.
JUMUIYA YA UAMSHO.







 

 
 
 
 
 





 
 







No comments:
Post a Comment