Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Wednesday, November 14, 2012

Mauritania yaonya athari za uingiliaji kijeshi Mali



Mauritania yaonya athari za uingiliaji kijeshi Mali
Spika wa bunge la Mauritania amesema kuwa uingiliaji kijeshi huko Mali kwa ajili ya kukabiliana na makundi yanayobeba silaha  huko kaskazini mwa nchi utakuwa na mripuko mkubwa wa volcano kwa eneo zima la  sawa Sahel la Afrika. Masoud Ould Bilkhair Spika wa bunge la Mauritania amesema kuwa vita dhidi ya makundi  yenye silaha huko kaskazini mwa Mali vitakuwa na atahari mbaya kwa nchi jirani na Mali. Spika wa bunge la Mauritania amesisitiza kuwa viongozi wa Bamako wanapasa kwanza kufanya juhudi ili kuutatua kwa amani mgogoro wa kaskazini mwa nchi hiyo ilikuweza kulinda umoja wa ardhi nzima  ya Mali na kudumisha demokrasia nchini humo. 

No comments:

Post a Comment