Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Sunday, November 11, 2012

Nguzo mpya za umeme zaendelea kuwekwa



 Uwekaji wa Nguzo za kupitishia waya mpya wa Umeme unaotokea Ras Kilomoni hadi Ras Fumba zikiwa tayari zimeshaweka katika eneo litakalopita waya huo kama inavyoonekana nguzo hizo zikiwa katika maeneo yato yanayotakiwa kupita waya huo.
 
Nguzo hizi zikiwa katika maeneo ya Maungani zikielekea Mtoni tayari kwa kiasi kikubwa uwekaji wa nguzo hizo umekamilika ukisubiri kuwekwa waya. Maendeleo ya teknolojia yanaonekana kwa kuwepo tofauti kati ya nguzo za zamani na hizi mpya ambazo zimepitishwa katika njia ile ile iliyopita waya ya zamani.
 
Umeme huu unatarajiwa kuanza kutumika Mwezi Desemba 2012 baada ya waya wa zamani kumaliza muda wake wa miaka 30.

No comments:

Post a Comment