skip to main  |
      skip to sidebar
          
        
          
        
Uswisi, kitovu cha magendo ya mihadarati Ulaya 
      
    
  
  
  
   
   
   
   
      
   
    
     
    
    
    
    
   
    
 Viongozi wa Uswisi wameeleza 
wasiwasi wao wa kuongezeka wimbi la magendo ya madawa ya kulevya nchini 
humo. Polisi wa kupambana na magendo ya madawa ya kulenya nchini Uswisi 
wameeleza kuwa, mji wa Zurich kwa kushirikiana na Idara ya kupambana na 
madawa ya kulevya ya Nigeria wameweka mikakati ya kuwasaka na kuwatia 
mbaroni raia wa Nigeria wanaofanya biashara hiyo haramu nchini humo. 
Mkuu wa Idara ya Kupambana na Madawa ya Kulevya nchini Uswisi amesema 
kuwa, biashara ya kokeini inashikiliwa na wafanyabiashara wa Nigeria 
nchini humo. Naye Afisa wa Nigeria amesema kuwa, maafisa wa Uswisi 
hawana mikakati madhubuti ya kupambana na wafanya  magendo wa madawa ya 
kulevya.
Viongozi wa Uswisi wameeleza 
wasiwasi wao wa kuongezeka wimbi la magendo ya madawa ya kulevya nchini 
humo. Polisi wa kupambana na magendo ya madawa ya kulenya nchini Uswisi 
wameeleza kuwa, mji wa Zurich kwa kushirikiana na Idara ya kupambana na 
madawa ya kulevya ya Nigeria wameweka mikakati ya kuwasaka na kuwatia 
mbaroni raia wa Nigeria wanaofanya biashara hiyo haramu nchini humo. 
Mkuu wa Idara ya Kupambana na Madawa ya Kulevya nchini Uswisi amesema 
kuwa, biashara ya kokeini inashikiliwa na wafanyabiashara wa Nigeria 
nchini humo. Naye Afisa wa Nigeria amesema kuwa, maafisa wa Uswisi 
hawana mikakati madhubuti ya kupambana na wafanya  magendo wa madawa ya 
kulevya. 
 
 
        
    
    
 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
    
No comments:
Post a Comment