Social Icons

rss feed facebook twitter google plus linkedin youtube email

Saturday, November 3, 2012

Uswisi, kitovu cha magendo ya mihadarati Ulaya



Uswisi, kitovu cha magendo ya mihadarati UlayaViongozi wa Uswisi wameeleza wasiwasi wao wa kuongezeka wimbi la magendo ya madawa ya kulevya nchini humo. Polisi wa kupambana na magendo ya madawa ya kulenya nchini Uswisi wameeleza kuwa, mji wa Zurich kwa kushirikiana na Idara ya kupambana na madawa ya kulevya ya Nigeria wameweka mikakati ya kuwasaka na kuwatia mbaroni raia wa Nigeria wanaofanya biashara hiyo haramu nchini humo. Mkuu wa Idara ya Kupambana na Madawa ya Kulevya nchini Uswisi amesema kuwa, biashara ya kokeini inashikiliwa na wafanyabiashara wa Nigeria nchini humo. Naye Afisa wa Nigeria amesema kuwa, maafisa wa Uswisi hawana mikakati madhubuti ya kupambana na wafanya  magendo wa madawa ya kulevya.

No comments:

Post a Comment