 Mapigano makali yanaendelea 
kuripotiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baina ya waasi
 wa M23 na vikosi vya serikali. Mashuhuda wanasema, mapigano baina ya 
pande mbili yanaendelea kushuhudiwa katika eneo la Kibumba lililoko 
jirani na mpaka wa nchi hiyo na Rwanda. Taarifa zaidi zinasema kuwa, 
milio ya risasi imeendelea kusikika na kuzusha wasi wasi mkubwa huku 
baadhi ya raia wakilazimika kuyakimbia makazi yao. Tayari Waziri Mkuu wa
 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Augustin Matata Ponyo ameutaka Umoja 
wa Mataifa uwawekee vikwazo viongozi wa serikali ya Rwanda kutokana na 
kuchochea machafuko mashariki mwa Kongo.
Mapigano makali yanaendelea 
kuripotiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baina ya waasi
 wa M23 na vikosi vya serikali. Mashuhuda wanasema, mapigano baina ya 
pande mbili yanaendelea kushuhudiwa katika eneo la Kibumba lililoko 
jirani na mpaka wa nchi hiyo na Rwanda. Taarifa zaidi zinasema kuwa, 
milio ya risasi imeendelea kusikika na kuzusha wasi wasi mkubwa huku 
baadhi ya raia wakilazimika kuyakimbia makazi yao. Tayari Waziri Mkuu wa
 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Augustin Matata Ponyo ameutaka Umoja 
wa Mataifa uwawekee vikwazo viongozi wa serikali ya Rwanda kutokana na 
kuchochea machafuko mashariki mwa Kongo.Sunday, November 18, 2012
Mapigano makali yaendelea mashariki mwa Kongo
 Mapigano makali yanaendelea 
kuripotiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baina ya waasi
 wa M23 na vikosi vya serikali. Mashuhuda wanasema, mapigano baina ya 
pande mbili yanaendelea kushuhudiwa katika eneo la Kibumba lililoko 
jirani na mpaka wa nchi hiyo na Rwanda. Taarifa zaidi zinasema kuwa, 
milio ya risasi imeendelea kusikika na kuzusha wasi wasi mkubwa huku 
baadhi ya raia wakilazimika kuyakimbia makazi yao. Tayari Waziri Mkuu wa
 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Augustin Matata Ponyo ameutaka Umoja 
wa Mataifa uwawekee vikwazo viongozi wa serikali ya Rwanda kutokana na 
kuchochea machafuko mashariki mwa Kongo.
Mapigano makali yanaendelea 
kuripotiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baina ya waasi
 wa M23 na vikosi vya serikali. Mashuhuda wanasema, mapigano baina ya 
pande mbili yanaendelea kushuhudiwa katika eneo la Kibumba lililoko 
jirani na mpaka wa nchi hiyo na Rwanda. Taarifa zaidi zinasema kuwa, 
milio ya risasi imeendelea kusikika na kuzusha wasi wasi mkubwa huku 
baadhi ya raia wakilazimika kuyakimbia makazi yao. Tayari Waziri Mkuu wa
 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Augustin Matata Ponyo ameutaka Umoja 
wa Mataifa uwawekee vikwazo viongozi wa serikali ya Rwanda kutokana na 
kuchochea machafuko mashariki mwa Kongo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







 
 
 
 
 
 





 
 







No comments:
Post a Comment